Sunday, May 15, 2011

MISS TOURISM TANZANIA ORGANISATION SASA TAASISI YA KIMATAIFA

Miss Tourism Tanzania Organisation,waandaaji wenye haki miliki ya shinadano la Miss Utalii Tanzania,sasa waimingia katika kundi la taasisi za kimataifa za kutangaza na kupromoti Utalii na utamaduni.Hii nibaada ya kuwa taasisi ya kwanza nchini kumiliki mashindano ya Dunia ya Utalii ya urembo,riadha,mpira wa ufukweni,Safari za Kimataifa za Utalii na maonyesho ya kimataifa ya Utalii ya Mavazi. Mashindano hayo ni Miss Utalii Vyuo Vikuu Dunia ( Miss Tourism University World),Miss Urithi wa Dunia ( Miss Heritage World),Mbio za Kimataifa za Nyika za Hifadhi za Taifa (National Parks International Marathon),Safari kuu ya Kitalii Tanzania ( Tanzania Great Safari & Tour), Maonyesho ya kimataifa ya Mavazi ya Kitalii (Tanzania Great Safari Fashion Show) na Miss Tourism Beach Soccer

No comments:

Post a Comment